• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

WAZIRI JAFO AIMWAGIA SIFA HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA

Posted on: June 6th, 2020

Waziri wa Nchi TAMISEMI Mheshimiwa Selemani Jafo ameiponngeza Halamshauri ya Wilaya ya Kaliua kwa kutekeleza miradi ya maendeleo kwa vitendo. katika ziara yake wilayani Kaliua tarehe 6/6/2020,, Mheshiwa Jafo ametoa hundi za mikopo kwa wajasiriamali mbalimbali wilayani kaliua yenye thamni ya Shilingi milioni 215. Pia Mheshimiwa Jafo amegawa pikipiki 10 kwa vijana wa bodaboda  stand mpya Kaliua zenye thamani ya shilingi milioni 25 na vifaa vya vikundi ya viwanda vidogovidogo vyenye thamani ya milion 92. Kwa mwaka wa fedha 2019/2020 Halmashauri imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 584. Aidha, Mheshimiwa Jafo ameridhishwa na mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Wialaya ya Kaliua na kuzitaka halmashauri zingine kuiga mfano wa Kaliua



 .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KALIUA DC MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II November 17, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • PONGEZI KWA WATUMISHI WALIOSHIRIKI MASHINDANO YA SHIMISEMITA

    November 06, 2023
  • UKAGUZI WA UJENZI WA SHULE YA TABORA GIRLS GRAND

    October 18, 2023
  • UKAGUZI WA UJENZI WA SHULE YA MSINGI Dkt SAMIA SULUH HASSAN

    September 14, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU WILAYANI KALIUA

    September 16, 2023
  • Ona zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru Wilayani Kaliua 2018
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • TAMISEMI
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji
  • UTUMISHI

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara ya Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255262965676/9

    Dawati la Uwekezaji:

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua