• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

Ardhi na Maliasili




Idara ya Ardhi na Maliasili imeundwa na sekta mbili za Ardhi na Maliasil zenye vitengo vya Uthamini, Mipangomiji, Upimaji , Ardhi miliki, Wanyamapori na Misitu. Idara ina jukumu la kusimamia na kutoa ushauri katika maswala yote yanayohusu umilikishaji wa ardhi,uthamini, upangaji na uendelezaji wa mji, upimaji, kusimamia uvunaji wa mazao ya misitu na kusimamia uwindishaji wa kitalii.

  • Kazi za Idara
  • Kufanya doria katika misitu ya Hifadhi ya serikali kuu na  Halmashari. 
  • Kukusanya maduhuli yatokanayo na mazao ya misitu.
  • Kufanya tathimini ya rasilimali ya misitu ya Hifadhi ya Vijiji vya Luganjo na Shella.
  • Kuandaa mpango kazi wa usimamizi katika misitu ya Hifadhi ya vijiji vya Luganjo na Shella.
  • Kuendelea na ujenzi wa banda kwa ajili ya ufungaji wa mashine ya kukamulia mafuta ya Alzeti katika kijiji cha Kombe kwa ufadhili  wa mradi wa Miombo (SFM).
  • Kutoa vyeti 20 za vijiji vilivyopimwa.
  • Kuandaa mipango ya matumizi bora ya Ardhi katika vijiji 19.
  • Kuadaa Hati miliki 200 za  kimila.
  • Kuandaa Hati za umiliki 100
  • Kukusanya maduhuli ya serikali yatokanayo na kodi za ardhi.                                                           

Mafanikio 

  • Kufanya doria kwenye misitu ya Hifadhi ya vijiji vya  Maboha, Luganjo na Shella vilivyoko kata Usinge kwa ufadhili wa mradi wa Miombo (SFM),Msitu wa Ulyankulu (Mpongolo) na ISAWIMA. Jumla ya magogo 1,120 yalikamatwa             
  • Kukusanya maduhuli ya Serikali yatokanayo na mazao ya misitu, kiasi cha Tsh. 262,768,075  zimekusanywa katika robo hii
  • Kufanya tathimini ya misitu ya vijiji vya Luganjo na shella. Tathimini imefanyika na kukamilika.
  • Kuendelea na ujenzi wa banda kwa ajili ya ufungaji wa mashine ya kukamulia mafuta ya Alzeti katika kijiji cha Kombe kwa ufadhili
    • Idara ya Ardhi na Maliasili imeundwa na sekta mbili za Ardhi na Maliasil zenye vitengo vya Uthamini, Mipangomiji, Upimaji , Ardhi miliki, Wanyamapori na Misitu. Idara ina jukumu la kusimamia na kutoa ushauri katika maswala yote yanayohusu umilikishaji wa ardhi,uthamini, upangaji na uendelezaji wa mji, upimaji, kusimamia uvunaji wa mazao ya misitu na kusimamia uwindishaji wa kitalii.

Kazi za Idara

  • Kufanya doria katika misitu ya Hifadhi ya serikali kuu na  Halmashari. 
  • Kukusanya maduhuli yatokanayo na mazao ya misitu.
  • Kufanya tathimini ya rasilimali ya misitu ya Hifadhi ya Vijiji vya Luganjo na Shella.
  • Kuandaa mpango kazi wa usimamizi katika misitu ya Hifadhi ya vijiji vya Luganjo na Shella.
  • Kuendelea na ujenzi wa banda kwa ajili ya ufungaji wa mashine ya kukamulia mafuta ya Alzeti katika kijiji cha Kombe kwa ufadhili  wa mradi wa Miombo (SFM).
  • Kutoa vyeti 20 za vijiji vilivyopimwa.
  • Kuandaa mipango ya matumizi bora ya Ardhi katika vijiji 19.
  • Kuadaa Hati miliki 200 za  kimila.
  • Kuandaa Hati za umiliki 100
  • Kukusanya maduhuli ya serikali yatokanayo na kodi za ardhi.

Mafanikio 

  • Kufanya doria kwenye misitu ya Hifadhi ya vijiji vya  Maboha, Luganjo na Shella vilivyoko kata Usinge kwa ufadhili wa mradi wa Miombo (SFM),Msitu wa Ulyankulu (Mpongolo) na ISAWIMA. Jumla ya magogo 1,120 yalikamatwa             
  • Kukusanya maduhuli ya Serikali yatokanayo na mazao ya misitu, kiasi cha Tsh. 262,768,075  zimekusanywa katika robo hii
  • Kufanya tathimini ya misitu ya vijiji vya Luganjo na shella. Tathimini imefanyika na kukamilika.
  • Kuendelea na ujenzi wa banda kwa ajili ya ufungaji wa mashine ya kukamulia mafuta ya Alzeti katika kijiji cha Kombe kwa ufadhili  wa mradi wa Miombo (SFM). Ujenzi unaendelea na kwa sasa upo kwenye hatua ya kumwaga lenta
  • Kukusanya maduhuli ya Serikali yatokanayo na kodi za ardhi. Jumla ya Tsh 812,871.65 zimekusanywa
  • Malengo
  • Kusimamia uwidishaji wa kitalii katika kitalu cha Luganzo.
  • Kukusanya mapato yatokanayo na kodi za ardhi 3,000,000.00.
  • Kuandaa Hakimiliki 10.
  • Kupima viwanja 400.
  • Kufanya uthamini wa majengo 1500.
  • Kuhamasisha jamii kuchangia gharama za upimaji.
  • Kuandaa Hakimiliki za kimila 15.
  • Kukusanya ushuru wa tozo za mazao ya misitu 30,000,000.00.

TAARIFA YA WATUMISHI (IKAMA) IDARA YA ARDHI NA MALIASILI.


NA.
SEKTA
MAHITAJI
WALIOPO
PUNGUFU
01.
ARDHI
13
3
10
02.
MALIASILI
10
4
6

JUMLA
23
7
16

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KALIUA DC MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II November 17, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA WA MTAMBO DARAJA LA II {GREDA} NAFASI 01

    May 04, 2025
  • MNADA WA KWANZA WA ZAO LA KARANGA WILAYA YA KALIUA

    March 24, 2025
  • MADIWANI KALIUA WAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA BAJETI YA BILION 50.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    January 30, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA KUPITIA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII IMETOA HUNDI YA TSH. 302,000,000/=

    December 23, 2024
  • Ona zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru Wilayani Kaliua 2018
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • TAMISEMI
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji
  • UTUMISHI

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara ya Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255262965676/9

    Dawati la Uwekezaji:

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua