• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

Legal Unity


KITENGO CHA SHERIA

Kitengo cha sharia kina majukumu ya kusimamia kesi zote ambazo aidha halmashauri imeshitaki au imeshitakiwa Mahakamani. Katika kutekeleza majukumu hayo kitengo cha sheria pia kitatoa ushauri kwa Halmashauri juu ya nini kifanyanyike ili kutoiletea hasara Halmashauri ambapo inasisitizwa kesi ambazo zinaweza kutatuliwa nje ya Mahakama zitatuliwe ili kuokoa muda lakini pia kupunguza gharama za kuendesha kesi.

Kazi zingine za kitengo ni kupitia Sheria ndogo za Halmashauri na kushauri endapo kuna mabadiliko yanahitajika yafanyike na kutoa ushauri ushauri wa hatua zipi zifuatwe ili kukamilisha suala hilo.

Lakini pia kitengo kinakazi ya kupitia mikataba yote ya Halmashauri na kutoa ushauri ,lengo likiwa ni kuokoa Hasara ambazo zinaweza kuipata Halmashauri.

Mwisho ni kutoa ushauri wa kisheria kwa menejimenti ya Mkurugenzi juu ya shughuli mbamabali za kiutawala na kiutendaji ili kutimiza malengo Halmashauri ili kutima malengo Halmashauri iliyojiwekea.


Kwa mwaka 2016/17 Halmashauri ya wilaya ya Kaliua ilikuwa na kesi 16 kwa mchanganuo ufuatao:-


S/N
MAHALA KESI  ILIPOFUNGULIWA
NAMBA YA KESI
HATUA KESI ILIPOFIKIA
01
Mahakama Kuu kanda
ya Tabora
11/2015
Imeisha Na Halmashauri
imeshinda  kesi hii na kuokoa mil 200.
02
Mahakama
Kuu kanda
ya Tabora
04/2017
Bado inaendelea..
03
Mahakama
ya Hakimu
Mkazi Tabora
43/2016
Imeisha
kwa
Halmashauri
kukubali kulipa
deni inalodaiwa.
04
Mahakama
ya Hakimu
Mkazi Tabora
Kesi
ya
Uchaguzi Na.03 ya
2015
Halmashuri
ilishinda kesi hiyo.
05
Mahakama
ya wilaya
Urambo
34/2015
Halmashauri
imeshinda kesi
na kuokoa mil
zaidi ya 400.
06
Mahakama
ya wilaya
Urambo
03/2017
Bado inaendelea..
07
Mahakama ya
wilaya Urambo
08/2016
Kesi
imeondolewa
kwanza Mahakamani.
08
Mahakama ya
wilaya Urambo
09/2016
Kesi
imeondolewa
kwanza Mahakamani.
09
Mahakama ya
wilaya Urambo
10/2016
Kesi
imeondolewa
kwanza Mahakamani.
10
Mahakama ya
wilaya Urambo
11/2016
Kesi
imeondolewa
kwanza Mahakamani.
11
Mahakama
ya wilaya
Urambo
12/2016
Kesi
imeondolewa
kwanza Mahakamani.
12
Baraza la Ardhi
na
Nyumba Tabora
129/2016
Kesi iliisha
kwa Halmashauri
kushinda kesi.
13
Baraza la Ardhi
na
Nyumba Tabora.
112/2017
Kesi bado inaendelea..
14
Baraza la Ardhi
na
Nyumba Tabora
130/2017
Kesi bado inaendelea..
15
Baraza la
Ardhi na
Nyumba Tabora
13/2016
Halmashauri
ilishinda kesi hiyo.
16
Baraza la
Ardhi na
Nyumba Tabora
37/2017
Halmashauri
imeshinda kesi.


Kuandaa sheria ndogo za Vijiji 100, kila kijiji Sheria 5, ambapo sheria hizo ni Sheria Ndogo ya Hifadhi ya Mazingira, Sheria Ndogo ya Nguvu kazi, Sheria Ndogo ya Ushuru mbalimbali, Sheria Ndogo ya Kuzuia na Kuzima Moto na Sheria Ndogo ya Maendeleo ya Elimu.

Pamoja na kuandaa Sheria Ndogo hizo Kitengo Cha Sheria pia kilipitia Sheria Ndogo za Halmashauri na kinaendelea na mchakato wa kuzihuisha kwani kuna mapungufu machache ikiwa nin pamoja na Kanuni za Kuendesha mikutano ya Halmashauri.

Zipo Rasimu za Sheria tatu ambazo ni  Rasimu ya Sheria Ndogo za Kodi ya Majengo, Rasimu ya Sheria Ndogo ya Anuani ya Misimbo pamoja na Sheria Ndogo za Hifadhi ya Msitu wa Maboha                                                          -Mchakato bado unaendelea

Kupitia mikataba Mbalimbali na kutoa ushauri wa Kisheria kwa Halmashauri. Kwa mwaka 2016/2017 Kitengo cha Sheria kilipitia mikataba mikubwa ya Ujenzi minne (4), mikataba ya Benki Minne (4), mikataba ya simu miwili  na mikataba midogo mchanganyiko zaidi ya sabini (70) ili kushauri nini kifanyike.

Kitengo cha Sheria pia kimetoa Msaada wa Kisheria kwa watu Mbalimbali ambao hawana uwezo wa kugharamia tozo za Mawakili ambapo kwa asilimia 90 Wahanga hao waliweza kupata haki zao mahakamani.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KALIUA DC MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II November 17, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA DEREVA WA MTAMBO DARAJA LA II {GREDA} NAFASI 01

    May 04, 2025
  • MNADA WA KWANZA WA ZAO LA KARANGA WILAYA YA KALIUA

    March 24, 2025
  • MADIWANI KALIUA WAPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA BAJETI YA BILION 50.2 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    January 30, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA KUPITIA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII IMETOA HUNDI YA TSH. 302,000,000/=

    December 23, 2024
  • Ona zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru Wilayani Kaliua 2018
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • TAMISEMI
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji
  • UTUMISHI

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara ya Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255262965676/9

    Dawati la Uwekezaji:

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua