• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

MKATUMIE KIDOGO NA KUWEKEZA KIKUBWA

Posted on: February 6th, 2026

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Bw. Shabani A. Kabelwa amewataka wanufaika wa Mikopo ya asilimia kumi (10%) inayotolewa na Halmashauri, kutumia kidogo na kuwekeza kikubwa ili kuweza kufikia Malengo yao na kurejesha marejesho kwa wakati

Ameyasema hayo leo tarehe 06/02/2026 katika viwanja vya Halmashauri ya Wilaya  ya Kaliua alipokua akizungumza na Vijana wa Kikundi cha Bodaboda cha Igagala City kilichopo Kijiji cha Mtakuja Maghalibi, kata ya Igagala, ambao wamekopeshwa na Halmashauri Pikipiki zenye thamani ya  Tsh. 35,000,000/=

‘Tusidharau kazi maana kazi ni kazi cha msingi kila mmoja wenu azingatie maadili, na tujitambue kwenye namna nzuri ya kufanya matumizi ya fedha zetu, na ili ufanikiwe lazima kile unachokitumia kiwe kidogo kuliko kile unachokitumia, amesema Bw. Kabelwa

Akizungumza kwa niaba ya wanakikundi, Mjumbe wa kikundi hicho cha Igagala City Ndugu Thomas J. Sanda amesema wao kama vijana wapo tayari kufanya kazi kwa bidii na kujituma ilikujikwamua kimaisha na kuweza kufaya marejesho kwa wakati.

Ikumbukwe kuwa huu ni mwendelezo wa utoaji wa mikopo inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua kwa Mapato yake ya ndani na kwa kipindi cha Mwaka 2025/2026 imekwisha kutoa kiasi cha Tsh. 718,900,000.00

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KALIUA DC MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II November 17, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • MKATUMIE KIDOGO NA KUWEKEZA KIKUBWA

    February 06, 2026
  • WASIMAMIZI WA MIRADI KUWENI WAZALENDO

    September 15, 2025
  • MKURUGENZI KABELWA AZUNGUMZA NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO

    August 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU UMEZINDUA, UMEWEKA MAWE YA MSINGI KALIUA

    August 29, 2025
  • Ona zote

Video

Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2025 Wilayani Kaliua
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • TAMISEMI
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji
  • UTUMISHI

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara ya Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255262965676/9

    Dawati la Uwekezaji:

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua