• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

KISHINDO CHA MWENGE WA UHURU WILAYANI KALIUA

Posted on: July 13th, 2021

Mbio za Mwenge Maalum wa Uhuru umefika wilayani Kaliua tarehe 13/7/2021 na kuzindua pamoja na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ikiwemo; Uzinduzi wa mradi wa Pikipiki 30 katika Kata za Sasu, Usenye na Nhwande, Uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa Kituo cha Afya Uyowa, Uzinduzi wa mradi wa maji ya bomba katika Kijiji cha Kasungu, Kutembelea mradi wa CCTV Camera Stendi ya Mabasi Kaliua, na Uzinduzi wa mradi wa Mnara wa TTCL Kaliua. Hata hivyo miradi yote imezinduliwa na kuwekewa mawe ya msingi. Pamoja na hiyo, Kiongozi wa Mbio za Mwenge Maalum wa Uhuru aliipongeza Wilaya ya Kaliua kwa kuzingatia kwa vitendo Kauli mbiu ya Mwenge Maalum wa Uhuru kwa kufunga CCTV Camera stendi ya Mabasi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KALIUA DC MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II November 17, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • WASIMAMIZI WA MIRADI KUWENI WAZALENDO

    September 15, 2025
  • MKURUGENZI KABELWA AZUNGUMZA NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO

    August 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU UMEZINDUA, UMEWEKA MAWE YA MSINGI KALIUA

    August 29, 2025
  • KAMILISHENI KWA WAKATI MIRADI

    August 29, 2025
  • Ona zote

Video

Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2025 Wilayani Kaliua
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • TAMISEMI
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji
  • UTUMISHI

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara ya Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255262965676/9

    Dawati la Uwekezaji:

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua