• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

KALIUA YANG'ARA MATOKEO DARASA LA SABA

Posted on: October 25th, 2018

*Mwanafunzi Zugimlole-Kaliua aingia kumi bora.
*Wilaya ya Kaliua ya kwanza kimkoa, ufaulu 82.12%.

Akizungumza baada ya Baraza la Mitihani kutangaza matokeo, Kaimu Mkuu wa Idara Elimu-Msingi Bw. Robert Sanduli ameeleza kuwa mafanikio haya yametokana na ushirikiano wa wadau mbalimbali ikiwa ni Wanafunzi, Wazazi , Walimu, Maafisa Elimu Kata, watumishi wote wa idara za elimu msingi na sekondari pamoja na serikali vijiji na kamati za elimu za vijiji katika kusimamia masuala ya elimu hasa katika kupambana na utoro na mimba za utotoni.
“Kwa kiasi kikubwa tunamshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri Dr. John Pima pamoja na Mkuu wa Wilaya Abel Yeji Busalama kwa kuweka mikakati, miongozo na usimamizi wao madhubuti katika sekta ya elimu” Alisema Sanduli.
Katika mafanikio ya matokeo mradi wa EQUIP ambao umetoa mchango mkubwa kwa kuwa wezesha Maafisa Elimu Kata (waratibu)kuweza kuzifikia shule zote na kusimamia malengo ya Halmashauri.
Kaimu Afisa Elimu Sanduli ametoa wito kwa wadau wote ili kuendelea kupandisha ufaulu na kuwasisitiza wazazi kuwa wanafunzi wote watakaochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2019 waanze kuwafanyia maandalizi mapema.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI KALIUA DC MSAIDIZI WA HESABU DARAJA LA II November 17, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA KALIUA May 25, 2022
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • MKURUGENZI KABELWA AZUNGUMZA NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO

    August 29, 2025
  • MWENGE WA UHURU UMEZINDUA, UMEWEKA MAWE YA MSINGI KALIUA

    August 29, 2025
  • KAMILISHENI KWA WAKATI MIRADI

    August 29, 2025
  • MKURUGENZI KABELWA AWAFUNDA WALIMU

    August 24, 2025
  • Ona zote

Video

Mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2025 Wilayani Kaliua
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • TAMISEMI
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji
  • UTUMISHI

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara ya Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255262965676/9

    Dawati la Uwekezaji:

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua