Idara ya Ardhi na Maliasili imeundwa na sekta mbili za Ardhi na Maliasil zenye vitengo vya Uthamini, Mipangomiji, Upimaji , Ardhi miliki, Wanyamapori na Misitu. Idara ina jukumu la kusimamia na kutoa ushauri katika maswala yote yanayohusu umilikishaji wa ardhi,uthamini, upangaji na uendelezaji wa mji, upimaji, kusimamia uvunaji wa mazao ya misitu na kusimamia uwindishaji wa kitalii.
Mafanikio
Kazi za Idara
Mafanikio
TAARIFA YA WATUMISHI (IKAMA) IDARA YA ARDHI NA MALIASILI.
NA.
|
SEKTA
|
MAHITAJI
|
WALIOPO
|
PUNGUFU
|
01.
|
ARDHI
|
13
|
3
|
10
|
02.
|
MALIASILI
|
10
|
4
|
6
|
|
JUMLA
|
23
|
7
|
16
|
Barabara ya Bomani, Ufukutwa
Sanduku La Posta: 83 Kaliua
Simu ya Mezani: +255(0)736204192
Simu ya Kiganjani: +255(0)736204192
Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz
Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua