Posted on: November 28th, 2018
Halmashauri ya wilaya ya Kaliua imeshika nafasi ya nane (8) kati ya halmashauri 185 nchini katika utoaji wa mikopo ya 4% wanawake, 4% vijana na 2% valemavu kutoka kwenye mapato yake ya ndani. Ka...
Posted on: October 25th, 2018
*Mwanafunzi Zugimlole-Kaliua aingia kumi bora.
*Wilaya ya Kaliua ya kwanza kimkoa, ufaulu 82.12%.
Akizungumza baada ya Baraza la Mitihani kutangaza matokeo, Kaimu Mkuu wa Idara Elimu-Msingi Bw. R...
Posted on: July 11th, 2018
Mkuu wa wilaya ya kaliua Mh. ABEL BUSALAMA leo amepoke mifuko ya simenti 200 kutoka katika kampuni ya ununuzi wa Tumbaku “ALLIANCE ONE – Tanzania Ltd” kwa ajili ya shughuli za ujenzi wa hos...