• Malalamiko |
    • MAWASILIANO |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Wafanyakazi |
Kaliua District Council
Kaliua District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu, na Ufuatiliaji
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
      • Usafi wa Mazingira
      • Maji
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Legal Unity
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Utaratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Fursa za Uwekezaji

Wasifu

Dkt John Marco Pima
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua ni Dr John Marco Pima. Kitaaluma, ni Mtafiti katika fani ya Sayansi ya Teknolojia ya Habari katika Nyanja za “Blended Learning”, Elimu Mtandao; “E-Government”; na “E-Records and Archival Management”. Dr. Pima anao uzoefu wa uongozi katika nafasi za uandamizi kwa zaidi ya miaka mitano na amepata mafunzo mbalimbali ya kiuongozi, kimkakati na kijamii. Kabla ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Kaliua, Dr. John Pima alikuwa Mhadhiri katika Chuo Cha Uhasibu Arusha tangu mwaka 2006. Dr John Pima anayo Shahada ya Uzamili (Masters) ya Sayansi ya Kompyuta toka Chuo Kikuu cha Coventry, Uingereza. Dr. Pima amehitimu Shahada ya Uzamivu (PhD in Computing) akibobea katika fani ya “Blended Learning” na “Collaborative Web Technologies”. Dr Pima amewahi pia kuwa Meneja wa TEHAMA (ICT Manager) katika Chuo Cha Uhasibu Arusha tangu mwaka 2012 hadi 2016. Amefanya tafiti mbalimbali na kuchaptisha maandiko yake katika majarida na makongamano ya kitaifa na kimataifa. Kwa sasa Dr Pima amejikita zaidi katika kusimamia maendeleo ya Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua.

Matangazo

  • ZIARA YA MAKAMU WA RAIS MH. SAMIA SULUHU HASSAN February 21, 2019
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - DATA CLERK December 29, 2018
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA KUKUSANYA MAPATO - NAFASI 15 December 21, 2018
  • TANGAZO LA MBEGU ZA KOROSHO December 12, 2018
  • Ona zote

Habari za Hivipunde

  • SHULE TANO MPYA ZA SECONDARI KUFUNGULIWA FEB 8, 2019

    February 12, 2019
  • KALIUA YASHIKA NAFASI YA KWANZA MATOKEO YA DARASA LA NNE

    January 04, 2019
  • KALIUA YAPATA TUZO MIKOPO YA VIJANA, WANAWAKE NA WALEMAVU

    November 28, 2018
  • KALIUA YANG'ARA MATOKEO DARASA LA SABA

    October 25, 2018
  • Ona zote

Video

Karibu Mwenge wa Uhuru Wilayani Kaliua 2018
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mwanzo
  • Huduma
  • Historia
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa zinazofanana

  • Salary Slips Portal
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya RC Tabora
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti za Serikali
  • Baraza la Mitihani - NECTA

World visitors tracker

world map hits counter

MAWASILIANO

    Ofisi zipo Eneo la Ufukutwa, Barabara Ulindwanoni

    Sanduku La Posta: S. L. P 83 Kaliua

    Simu: +255 622 225 618

    Dawati la Uwekezaji: +255 627 052 034

    Barua Pepe: ded@kaliuadc.go.tz

Dawati la Malamiko

   

Waliotembelea

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Sitemap
    • Service

Hatimiliki ©2016 Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua